Pages

Thursday, 29 May 2014

PAPARAZI MAREHEMU MAXMILLIAN NGUBE AZIKWA KINONDONI JIJINI DAR


Jeneza lenye mwili wa Marehemu Maxlikiwekwa juu ya kaburi kabla mazishi.

Mjane wa Marehemu, Bi. Suzan Jacob Ayimba akiweka udongo kwenye kaburi la  mpendwa mme wake.
Mtoto wa Marehemu Max, Jacob akisaidiwa baada ya kupoteza fahamu wakati akutupia udongo kwenye kaburi la baba yake.
Mjane wa Marehemu, Bi. Suzan Jacob Ayimba akiweka shada la maua kwenye kaburi la mume wake.
Watoto wa Marehemu, wakiweka shada la maua kwenye kaburi la baba yao.

No comments:

Post a Comment