Jeneza lenye mwili wa Marehemu Maxlikiwekwa juu ya kaburi kabla mazishi.

Mjane wa Marehemu, Bi. Suzan Jacob Ayimba akiweka udongo kwenye kaburi la  mpendwa mme wake.
Mtoto wa Marehemu Max, Jacob akisaidiwa baada ya kupoteza fahamu wakati akutupia udongo kwenye kaburi la baba yake.
Mjane wa Marehemu, Bi. Suzan Jacob Ayimba akiweka shada la maua kwenye kaburi la mume wake.
Watoto wa Marehemu, wakiweka shada la maua kwenye kaburi la baba yao.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: