Wafanyakazi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) wakiwa katika maandamano kuingia Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Maandamano hayo yalifanyika leo Mei 1, 2014 kuanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia uwanja wa Uhuru. 
Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania wakiongoza maandamano kuingia Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Maandamano hayo yalifanyika leo Mei 1, 2014 kuanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia uwanja wa Uhuru. 
 Ujumbe wa NPC- KIUTA wakitoa ujumbe katika maandamano kuingia Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Maandamano hayo yalifanyika leo Mei 1, 2014 kuanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia uwanja wa Uhuru. 

Wafanyakazi wa SUMATRA wakiwa katika maandamano kuingia Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Maandamano hayo yalifanyika leo Mei 1, 2014 kuanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia uwanja wa Uhuru. 

Wafanyakazi wa Twiga Chemical Industries (T) LTD, Tawi la TUICO wakiwa katika maandamano kuingia Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Maandamano hayo yalifanyika leo Mei 1, 2014 kuanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia uwanja wa Uhuru. 
 Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) wakiwa katika maandamano kuingia Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Maandamano hayo yalifanyika leo Mei 1, 2014 kuanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia uwanja wa Uhuru. 
Wafanyakazi wa FIBUCA MAKAO MAKUU wakiwa katika maandamano kuingia Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Maandamano hayo yalifanyika leo Mei 1, 2014 kuanzia Viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia uwanja wa Uhuru. 
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: