Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Karume akimkaribisha nyumbani kwake Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad wakati wa kikao cha Maridhiano na dharura. Mazungumzo hayo yalifanyika siku ya Jumatano, tarehe 30 Aprili, 2014 nyumbani kwa Dr. Karume huko Mbweni, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
 Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Karume akiwa na mgeni wake Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na ujumbe wake (haupo pichani) uliofika katika kikao cha Maridhiano na dharura. Mazungumzo hayo yalifanyika siku ya Jumatano, tarehe 30 Aprili, 2014 nyumbani kwa Dr. Karume huko Mbweni, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
 Picha za kikao cha pamoja cha mashauriano baina ya Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Karume, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, na Wajumbe wa Kamati ya Maridhiano wakiongozwa na Mwenyekiti wao, Mhe. Hassan Nassor Moyo akiwa na Mansoor Yussuf Himid, Mohamed Ahmed Al-Mugheiry (Eddy Riyami), Salim Bimani na Ismail Jussa. Mjumbe mwengine Mhe. Abubakar Khamis hakuweza kuhudhuria kutokana na dharura. Mazungumzo hayo yalifanyika siku ya Jumatano, tarehe 30 Aprili, 2014 nyumbani kwa Dr. Karume huko Mbweni, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: