Baadhi ya washiriki wa shindano la Vodacom Miss Tanzania 2008, wakiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere, Dar es Salaam jana, wakitokea katika mikoa ya Kanda ya Ziwa walikokuwa katika ziara yao ya wiki moja. Katika ziara yao pia walitembelea kaburi la Baba wa Taifa na kutoa misaada Hospitali ya Sekotoure ya mjini Mwanza.
Warembo wa Miss tanzania wakiwa katika picha ya pamoja uwanja wa ndege wa JK Nyerere.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: