Mshauri wa Mahusiano ya Umma wa Zantel, Mohamed Mussa akizungumza wakati  akikabidhi vifaa vya kusomea kwa watoto wenye ulemavu wa macho wa shule  ya msingi Kisiwandui. kwa mwalimu mkuu wa shule Bi Taifa Ahmed pamoja na Mkurugenzi wa Elimu ya Shule ya Msingi, bwana Ahmed Abulmajid Shaaban. 
Mshauri wa Mahusiano ya Umma wa Zantel, Mohamed Mussa akikabidhi vifaa vya kusomea kwa watoto wenye ulemavu wa macho wa shule ya msingi Kisiwandui  kwa Mkurugenzi wa Elimu ya Shule ya Msingi, bwana Ahmed Abulmajid  Shaaban. Anayetazama katikati ni mwalimu mkuu wa shule Bi Taifa Ahmed. 
 Mshauri wa Mahusiano ya Umma wa Zantel, Mohamed Mussa akizungumza wakati  akikabidhi vifaa vya kusomea kwa watoto wenye ulemavu wa macho wa shule  ya msingi Kisiwandui. kwa mwalimu mkuu wa shule Bi Taifa Ahmed pamoja na Mkurugenzi wa Elimu ya Shule ya Msingi, bwana Ahmed Abulmajid Shaaban.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: