Mkuu wa Wilaya ya Njombe, SARA DUMBA, kafariki Dunia usiku huu katika hospitali ya Kibena.
Hadi leo saa Kumi jioni alikuwa nzima kabisa, Kwa mujibu wa Afisa Tarafa ya Njombe amesema leo jioni aliagana na DC wake akiwa nzima kabisa, Lakini ameshtushwa na Taarifa hiyo.
**Taarifa zaidi tutaendelea kuwajuza zipata mapema kesho.**


Toa Maoni Yako:
0 comments: