SARUJI YA DANGOTE inategenezwa Mtwara, kwa malighafi za mtwara, kama madini mawe aina ya limestone na gypsum, pamoja na nishati ya gesi asilia, lakini cha kustaajabu ni kuona bidhaa hii muhimu kwa ujenzi kuuzwa aghali zaidi kwa wakazi wa Mtwara (Sh.13,500/=) ukilinganisha na bei inayouzwa Dar (Sh.11,000/=).
Wahenga walisema: mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!
Mwananchi wa Mtwara,
Emmanuel Seni.



Toa Maoni Yako:
0 comments: