Timu ya Mariado wakishangalia ubingwa
kwa staili ya aina yake baada ya kuibuka mabingwa wa michuano ya Airtel
Rising Star, jana jijini Arusha.
Katibu wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Arusha Adam Brown akikabidhi kombe la ubingwa kwa nahodha wa timu ya Mariado Munira Goda baada ya timu yake kuibuka bingwa wa michuano ya Airtel Rising Star, jana jijini Arusha.


Toa Maoni Yako:
0 comments: