Askari wa kampuni ya G1 Security wakimrekebisha mtuhumiwa
wizi ambaye jina lake halikupatikana mara moja ambaye alikuwa katika harakati za kutaka kufanya uharifu katika Jengo la PALM RESIDENCE jijini Dar es salaam.
wizi ambaye jina lake halikupatikana mara moja ambaye alikuwa katika harakati za kutaka kufanya uharifu katika Jengo la PALM RESIDENCE jijini Dar es salaam.
Mtuhumiwa wa wizi ambaye alikusudia kufanya uhalifu katika Jengo la PALM RESIDENCE Jijini Dar es Salaam akitolewa nje na Askari wa kaampuni ya G1 Security.
Mtuhumiwa wa uharifu aliyepenya na kuingia katika jengo la PALM RESIDENCE jijini Dar es Salaam akitafakari kwa kina mara baada ya kupokea kichapo.
Askari wa kaampuni ya G1 Security wakuwa na mtuhumiwa ambaye jina lake halikupatikana mara moja wakiwa nje ya jengo PALM RESIDENCE jijini Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments: