Je, unaweza kujitolea kusafisha mtaa wako , kuchimba mitaro ya maji, au hata kumsaidia mwenzako kujenga nyumba bila malipo? Bila shaka wakenya wengi wangeona ugumu kufanya hivyo kwani ni wazi kuwa wengi wetu tumejawa na ubinafsi na tamaa ya kupata hela. Lakini katika nchi ya Rwanda, serikali imefanikiwa kuwalazimisha wanyarwanda kushiriki katika kusafisha mitaa yao kila juma ya mwisho wa mwezi, kando na kushiriki katika shughuli zingine kwa nia ya kusaidia kuimarisha maisha ya wananchi wenzao.
Home
Unlabelled
RAIS KAGAME HUONGOZA HAFLA YA USAFI RWANDA KILA MWEZI INAYOJULIKANA KAMA “OMUGANDA”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: