Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (kulia) akimuapisha Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe Shabaan Kondo Kissu Februari 25, 2015, anayeshuhudia katikati ni Katibu Tawala wa Dodoma Ndg. Rehema Madenge.
Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Shabaan Kondo Kissu akitia saini hati ya kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa Februari 25, 2015, anayeshuhudia katikati ni Katibu Tawala wa Dodoma Ndg. Rehema Madenge.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (kulia) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Shabaan Kondo Kissu Katiba ya Tanzania kama muongozo katika kazi yake baada ya kumuapisha Februari 25, 2015.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: