Mkuu wa chuo kikuu huria cha Tanzania Dokta ASHAROSE MIGIRA akimtunuku shahada ya uzamili ya usimamizi wa miradi mke wa waziri mkuu mama Tunu Pinda katika mahafali ya 27 yaliyofanyika mjini DODOMA kushoto anayeshuhudia ni Makamu mkuu wa chuo hicho Profesa Tolly Mbwete. Picha na Chriss Mfinanga.
Wanafamilia wakimvisha maua.
Kikundi cha wake wa viongozi kutoka Dar es Salaam kikimpongeza mlezi wao Mama Tunu Pinda kwa kutunukiwa shahada ya uzamili ya Usamamizi Miradi ya Chuo Kikuu Juria Tanzania katika mahafali ya 27 iliyofanyika Mjini Dodoma, kushoto Mama Mashiba, Mama Lukuvi na Mama Malima.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: