Kiota cha maraha kiitwacho Olympia kilichopo Sinza Mori jijini Dar es Salaam chaungua moto leo jijini Dar es Salaam ambapo chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mapema..

Moto huo ulianza mishale ya saa kumi usiku ambapo waliweza kutoa taarifa kwa vyombo vya zima moto.

Zima moto hawakufika kwa muda mwafaka na badala yake walifika kunako saa 12 asubuhi wakiwa na maji kidogo ambayo yaliisha wakati moto ukiendelea.
  Lango la kuingilia Club.
Muonekano wa sasa baada ya kuungua.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: