Msanii wa nyimbo za asili Tanzania Engele Yange anatarajia kurekodi nyimbo yake jijini Mwanza katika Ziwa Victoria ili kuendeleza kutangaza utalii wa nchi. Nyange atakuwa na kundi lake Mjini Mwanza kwa wiki mbili ya mwezi huu.

Yange ni ameimba nyimbo nne za makabila manane ya Kikerewe,Kihaya,Kijita.Kisukumapamoja  na   Kikulya.

Katika Mkoa wa Mara aliimba katika video kwa kabila la wajita video hizo ni mbili zitaanza kuruka mapema Februari  mwaka  huu.

Siboka(mfalme)ameushukuru Uongozi wote wa CXC AFRIKA LTD. Unavyotoa misaada mbalimbali kwa wasanii wa hapa nchini Kupitia Mkurugenzi Wao  Charles Hamkah.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: