Wasamalia wema wakiwa katika eneo la tukio
Namna gari la abiria lilivyo haribiwa na gari kubwa la mizigo aina ya scania
Lori kubwa aina ya Scania limesababisha ajali baada ya kukatiza barabara
ghafla na kuigonga daladala aina ya DCM yenye maba za usajiri T797 BED
lenye kufanya safari zake kati ya G/LAMBOTO to UBUNGO.Ajali hii imetokea  leo maeneo ya Tabata Matumbi jijini Dar es salaam

Damu ambazo ni kwa wale abiria walio jeruhiwa katika ajali hiyo.
 Gari hili likiwa limepasuka vioo vyote na kuumia kwa face ya mbele.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: