Katibu mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando akiwa kwenye kipindi cha maswali na majibu toka kwa Vivek Muthu pembeni yake na maswali mengine toka kwa wadau waliohudhuria kwenye mkutano wa Afya wa Afrika unaoendelea jijini Dar es Salaam.
Wadau toka nchi mbalimbali duniani wakifuatilia kwa karibu yanayoendelea mkutanoni.
The Africa Healthcare Summit 2015 will take place at the Olympia Conference Center in London on the 26 – 27 February. Register here for Africa Healthcare Summit.
ReplyDelete