Mkuu wa Mkowa  wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro wa kwanza kulia akipata maelezo kutoka katika Banda la Mbeya ambapo alipata Taarifa fupi kuhusu Blog ya Mbeya yetu kutoka kwa Mtaalam wa Mitandao kutoka Tone Multimedia Group Fredy Anthony Njeje kwa Niaba ya Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu Joseph Mwaisango
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro wa kwanza Kulia akifurahi Baada ya kuona Tukio zima la Ziara yake likiwa Live moja kwa moja katika Mtandao wa  Mbeya yetu, Kulia ni Mtaalam wa Mitandao kutoka Tone Multimedia Group wamiliki wa Mbeya yetu Blog akimweleza Mkuu wa Mkoa Jinsi Tukio lilivyo weza kwenda hewani moja kwa moja na kujionea jinsi Mbeya yetu walivyo na Teknolojia kubwa katika mawasiliano 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh Abbas Kandoro akitahamaki wakati anaoneshwa tukio la Ziara yake
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro wa Kwanza kushoto Akitoa Mkono wa Pongezi kwa Mtaalam wa Mitandao kutoka Tone Multimedia Group Fredy Anthony kwa niaba ya Mbeya yetu  kwa kuwa wabunifu na kuendana na Dunia ya sasa kwamba mitandao ya kijamii inamanufaa sana kwa Jamii.

Picha zote na Mbeya yetu.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: