Kanali Mstaafu Iddi Kipingu wa tatu kushoto akikabizi misaada ya vyakura kwa watoto wanaolelewa katika kituo cha watoto yatima cha Daru-Alqm cha yombo misaada iliyotolewa na Timber Land Jogging and Sports Club.
Baadhi ya wtoto wakifuturu wakati wa futari iliyoandaliwa na klub ya jogging ya timber land iliyopo yombo kilakala
Baadhi ya kina mama na watoto nao wakipata futari
BAADHI YA WANACHAMA WANAWAKE WA KLUB YA TIMBER LAND YA YOMBO KILAKALA WAKIPATA FUTARI YA PAMOJA
Mlezi wa klabu ya Timber land sports club ya yombo kilakala , bi Carren-Flora Mgonja wa pili kushoto akiwa na baadhi ya wanachama mara baada ya kumaliza futari.
Mlezi wa klabu ya Timber land sports club ya yombo kilakala , bi. Carren-Flora Mgonja  akizungumza wakati wa futari hiyo.
Makamu Mwenyekiti wa Timber Land Chorai JAohn akizungumza.
Kanali Mstaafu Iddi Kipinguakitoa nasaha zake.
Diwani wa kata ya yombo kilakala bi, Elizabeth Magwaja akiongea.
Kanali Mstaafu Iddi Kipingu akikabidhiwa cheti cha ushiriki wake.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: