Shoka ikiwa imezama kichwani.
Jamaa akiwa kwenye ungalizi madokta wakihangaika kumfanyia upasuaji ili waweze kutoa sululu aliyokuwa imezamishwa kichwani. Baada ya madaktari wa Hospitali ya Bugando kupambana kuokoa maisha ya jamaa aliye fumaniwa huko Mwanza hatimaye wamefanikiwa kumtoa sululu hiyo kichwani na hali yake si nzuri.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

1 comments:

  1. duuuuuuuuuuuuuuuuuu hatari kwelikweli

    ReplyDelete