Leo katika pita pita zangu kwenye mitandao ya Jamii nimekutana na neno toka kwa Mwimbaji wa Nyimbo za Injili, Flora Mbasha... 'Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku. Maana dhiki yetu ni nyepesi iliyo ya muda kitambo tu, yatufanyia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana'. 2wakorintho 4:16
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

1 comments:

  1. Ovyo sana huyu dada...hana maana hatakidogo

    .

    ReplyDelete