Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Tamko kwa Vyombo vya Habari juu ya Chaguzi za Afrika Kusini na Malawi uliofanyika mapema huu. Mkutano huo wa waandishi wa habari ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi za Jukwaa La Katiba zilizopo Sinza Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba akitia msisitizo juu ya Tamko kwa Vyombo vya Habari juu ya Chaguzi za Afrika Kusini na Malawi uliofanyika hivi karibuni.
Hali ya uchaguzi ilivyokuwa nchini Africa Kusini na Malawi ni kama ifuatavyo;
Picha inaonyesha mwanachama aliyevaa flana yenye nembo ya chama cha ANC cha Afrika Kusini siku ya uchaguzi. Hii ni sawa na kupiga kampeini siku ya uchaguzi kitendo ambacho ni kinyume na sheria za
uchaguzi.
Picha inaonyesha wapiga kura nchini Malawi wakiwa kwenye foleni ya kupiga kura eneo la wazi ikimanisha jua na mvua vinaweza vikaathiri mchakato pia sehemu ya kupigia kura ipo kwenye ngazi kwahiyo siyo mazingira rafiki kwa watu wenye ulemavu na wazee.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: