Ofisa utumishi Mkuu Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Bwana Godfrey Mugomi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa hoteli ya kisasa STAR CITY HOTEL iliyopo Afrikasana, Sinza wanaoshudia ni Mkurugezi mkuu na mmiliki wa hoteli hiyo, Bwana Obadia Mtewele na Mkewe Joyce Msigwa. Hoteli hiyo ya kisasa ina uwezo wa kupokea wageni kutoka nje ya nchi na ndani ya nchi.
 Muhudumu aliyefuzu katika kazi za Hoteli akiandaa vyombo kwa ajili ya wageni.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: