Mwanadada Leah Mushi akiwa katika maadhimisho ya Miaka 49 tangu kuundwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuanzishwa rasmi uhusiano wa Kudiplomasia na Ushirikiano wa Kindugu kati ya Jamhuri ya Watu wa China na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Keki ya maadhimisho ya Miaka 49 tangu kuundwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuanzishwa rasmi uhusiano wa Kudiplomasia na Ushirikiano wa Kindugu kati ya Jamhuri ya Watu wa China na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Picha zote na Leah Mushi - China.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: