Msanii Walter Chilambo akiwarusha roho wakazi wa jiji la Dar, katika Ziara
ya kuzindua nyimbo za wasanii walioshiriki shindano la kuimba la Epiq
BSS imeendelea tarehe 1 mwezi wa tatu, ijumaa ya wiki hii katika ukumbi wa
Maisha Club Dar ambapo wasanii wote walioingia kumi bora.
Mambo yakiwa yamepamba moto.
Aha! kukiwa kumenoga.
Mashuhuda wa onyesho hilo wakifuatilia kwa makini.
Burudani ya kutosha.
Furaha ilitawala.


Toa Maoni Yako:
0 comments: