 |
| Bondia Maneno Osward kushoto akipambana na Japhert Kaseba wakati wa mpambano |
wao wa ubingwa wa taifa uliofanyika
jumamosi katika ukumbi wa DDC Magomeni Kondoa Kaseba alishinda kwa point
mpambano huo.
 |
| Bondia
Japhert Kaseba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na
Maneno Osward wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa taifa Kaseba
alishinda kwa point. |
 |
| Bondia Japhert Kaseba kushoto akioneshana umwamba wa
kutupiana masumbwi na Maneno Osward wakati wa mpambano wao wa kugombea
ubingwa wa taifa Kaseba alishinda kwa point. |
 |
| Bondia Japhert Kaseba akinyooshwa mkono juu na refarii Antoni Ruta baada ya kuibuka mshindi kwa kumgalagaza Maneno Osward. |
 |
| Bondia
Aliphonce Mchumiatumbo kushoto akioneshgana uwezo wa kutupiana masumbwi
na Josephe Marwa mpambano wa uzito wa juu uliofanika jumamosi
Mchumiatumbo alishinda kwa K,O raundi ya siti. |
 |
| Bondia
Putile Gama kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Tom
Kato kutoka Japani anaeishi mjini Bagamoyo Kato alishinda kwa K,O raundi
ya pili. |
 |
| Bondia Aliphonce Mchumiatumbo kushoto akioneshgana uwezo
wa kutupiana masumbwi na Josephe Marwa mpambano wa uzito wa juu
uliofanika jumamosi Mchumiatumbo alishinda kwa K,O raundi ya siti. |
 |
| Bondia Tom Kato kulia kutoka Japani anaeishi mjini Bagamoyo akioneshana umwamba wa kutupiana masumbwi na Putile Gama Kato alishinda kwa K,O raundi ya pili. Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
Toa Maoni Yako:
0 comments: