WASANII wa kundi la nyimbo za injili nchini 'Glorious Worship Team' keshokutwa Jumapili, Februari 24 mwaka huu wataadhimisha sherehe ya kutimiza miaka miwili ya kueneza injili ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya The Atrium, iliyopo Sinza Afrika Sana. Kiingilio katika hafla hiyo ni shilingi 5,000/= na wote mnakaribishwa.
Home
Unlabelled
GLORIOUS WORSHIP TEAM KUADHIMISHA MIAKA 2 J'PILI HII ATRIUMS HOTEL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments: