







Mkuu wa mkoa wa Katavi Dkt. Rajabu Rutengwe akimsiliza Kamanda wa polisi Mkoa wa Katavi kamanda Dhahiri Kidavashari wakati akimpa maelezo ya utaratibu wa mapokezi ya mgeni huyo, kulia anayesikiliza kwa makini ni Afisa Habari wa mkoa wa Rukwa Bw. Hamza Temba






Bendi kutoka mkoani Katavi ikitoa burudani katika maonyesho hayo huku ikipigwa tafu na mwanamuziki kongwe Bw. Hamza Kalala ambaye yuko huko kwa ajili ya kuinoa bendi hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments: