

WASANII wa nguvu nchini wakiwemo Fid Q, Rich Mavoko, Dullayo, Kala Jeremiah, Stamina, bendi ya ‘Twanga Pepeta’, na mchuano wa wasanii wa muziki wa kufoka wa The Mic King waliwapagawisha maelfu ya wapenzi wa burudani waliofika katika Ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live huko Mbagala jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY/GPL)
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY/GPL)
Toa Maoni Yako:
0 comments: