Hili ni eneo la Msimbazi ambalo kwa kawaida  huwa  kuna msongamano mkubwa wa  watu
Eneo la mzunguko  wa Kariakoo ambalo jiupe kama unavyoliona hapa
Hapa  sio maduka  yamefungwa  muda  umepita ama  wahusika  wamefiwa hapana ni baada ya vurugu  kutokea
Hii ni kariakoo sio biashara  mbaya ni usalama hakuna
                                       Ingekuwa  vipi kama kariakoo  kila  siku  kungekuwa  hivi?
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: