Mpaka sasa watu wapatao 30 wamejeruhiwa baada ya mlipuko uliotokea Moi Avenue-Nairobi, Kenya na kusababisha baadhi ya majengo kushika moto; idadi hiyo imetolewa na NTV ya nchini Kenya. Chanzo cha mlipuko huo hakijafahamika mpaka.
 Watu wakiwa na mshangao nje ya barabara.
Majeruhi wakiingizwa kwenye gari la wagonjwa kukimbizwa hospitari.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: