Msanii wa Muziki wa kizazi kipya Diamond akiingia kituo cha kulea watoto yatima kiitwacho Maunga Center kilichopo karibu na kituo cha polisi cha Hananasif, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kwenda kutoa msaada wa vyakula. Ambapo kituo hicho kina watoto wapatao 40.
Diamond akiwa amembeba mmoja ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho.
Umati wa watu pamoja na watoto walioungana kumshuhudia Diamond.
 Diamond akikabidhi msaada huyo kwa watoto
 Akitoa shukrani kwa kupokewa vyema kituoni hapo.
 Dua ya Baraka ikitolewa mara baada ya kukabidhi misaada hiyo.
 Watu wakifuatilia matukio.


Diamond akisikiliza mashairi aliyokuwa akiimbiwa na mmoja ya wazee wa kituo hicho.
Diamond akifanya mahojiano na waandishi wa vyombo vya habari.
Baadhi ya zawadi alizozipeleka katika kituo hicho.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

1 comments: