CD za Lady Jaydee ambazo zimeingia sokoni.
 Lady Jay Dee a.k.a Komando akiwa na mumewe Gadner Habash pamoja na Shear wakati akisaini autograph kwa wateja wake jana katika duka la Shear Illusion lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
 Albamu ya Ya 5 The Best Of Lady Jay Dee kwa sasa ipo sokoni.
 Wanafamilia wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumpa sapoti mwanadada Lady Jay Dee.
 Wana- La Familia.
 Wakishow love mara baada ya kazi.
 ...Aha! Ilikuwa ni raha musitarehe
 Hapa ni nje wakizindua tour basi la  Lady Jaydee& Machozi band.
Lady Jaydee& Machozi band Tour bus.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: