Mwakilishi wa kampuni ya Prime Time Promotions Ltd, ambao ndio waratibu wa mechi ya Yanga  na Zamalek, Balozi Kindamba akionesha mbele ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali, mashine maalum ya kukagua tiketi zitakazotumika kwenye mpambano wa timu ya Yanga na Zamalek ya Misri,utakaofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar siku ya jumamosi.

VIINGILIO katika mechi ya ligi ya mabingwa Afrika baina ya Yanga na Zamalek ya Misri inayotarajiwa kufanyika Machi 18 mwaka huu vimepangwa kuwa shilingi 50,000 kwa viti maalum huku kiingilio cha chini shilingi 3,000. Aidha viingilio vingine ni 7,000, 10,000, 15,000 na 30000.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: