Ilikuwa ni sherehe ya kukumbukwa kuzaliwa kwa mwanadada Flora Gabriel (anayewaisha wageni keki) iliyofanyika Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Wageni wakifurahiaaaaaaaaaa
...kila mmoja alikula keki kwa staili yake...
Nae Cathbert A. Kajuna mmiliki wa Blog hii nae aliwakilisha vilivyo na kuwaletea 'Habari na Matukio Live bila chenga.
...Mjomba naeeeeeee
Thank's kaka kwa kufika na kuwakilisha vilivyo.
ReplyDeleteNaomba mawasiliano na mwenye birthday yake nipo single
ReplyDelete