Hii ni barabara ya Bagamoyo na hapa ni eneo la Bondeni jijini Dar es Salaam ambapo ujenzi unaendelea na foleni ni kubwa kama unavyojionea mwenyewe.
 Hapa ni eneo la Afrikana, Mbezi jijini Dar es Salaam.
 
  Eneo Mbuyuni, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
 
Hapa ni eneo la Tegeta darajani angalia foleni yake ambayo inasababishwa na kukosekana kwa kituo cha mabasi jambo ambalo linawafanya watu wahangaike katika foleni kwa muda wa nusu saa mpaka saa moja.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: