Hatimaye mawasiliano ya barabara kati ya Arusha na Karatu yamerejea kama mwanzo barabara hiyo juzi ilishindikana kupitika baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisa kufurika Mto Kirurumo ambao ulimwaga maji mengi hivyo kusukuma mawe na magogo na kupelekea kuziba barabara pamoja na kusababisha mtu mmoja kupoteza maisha hivi sasa magari yanapita ngombe watembea kwa miguu pamoja na watalii ambao wanaenda katika hifadhi ya Ngorongoro.


 Picha na Chris Mfinanga.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: