Mkurugenzi mtendaji wa Benchmark Production Madame Ritah Paulsen(kushoto) na Mkuu wa Udhamini na Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania George Rwehumbiza(kulia)akiongea na wanahabari wakati walipotangaza kumi bora ya washiriki wa Bongo Star Search 2009.Vodacom Tanzania ni wadhamini wakuu wa shindano hilo.
Home
Unlabelled
BONGO STAR SEARCH KUMI BORA YATANGAZWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments: