Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na balozi wa Uingereza nchini, Philip P. (kushoto) na Padri Patick Shanahan kutoka Uingereza baada ya kufungua Warsha ya Wadau ya Kuandaa Mpango Mkakati wa Kusaidia Watoto Wanaishi Mitaani iliyofanyika kwenye hoteli ya Giraffe Ocean View jijini Dar es salaam, Januari 19, 2009.
Waziri Mkuu, Mizengo akifungua Warsha ya Wadau ya Kuandaa Mpango Mkakati wa Kusaidia Watoto Wanaoishi Mitaani huku akiwa amezungukwa na watoto hao kwenye hoteli ya Giraffe Ocean View ya jijini Dar es salaam Januari 19,2009.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: