RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE DR AMANI ABEID KARUME AKIPATA MAELEZO KWA MTAALAM WA UMEME MARTIN BURLS KUTOKA AFRIKA KUSINI ALIPOTEMBELEA KITUO CHA UMEME FUMBA AMBAKO KAZI YA MATENGENEZO IKIWA KATIKA HATUA ZA MWISHO.

RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE DR AMANI ABEID KARUME, AKISALIMIANA NA MAFUNDI WASAIDIZI WA KUFANIKISHA KUPATIKANA KWA UMEME HUKO FUMBA ALIPOTEMBELEA JANA KUONA HARAKATI ZA KURUDISHA NISHATI HIYO ZINAZOENDELEA.

PICHA NA RAMADHAN OTHMAN IKULU.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: