Nusu fainali ya shangwe za utani wa jadi hiyo inakuja, ili kupata kabila lenye shangwe kuliko lingine, lakini hatuwezi kuingia huko kabla ya kuwakutanisha,wasukuma,wapemba,wanyamwezi, wagogo, wandengereko, wahaya, na nikiwasahau wazaramo pwani mtanielewa kweli??

Hapa ni mpepetano,
Wiki hii wakwere wameibuka washindi kwa kuwachezesha waluguru shilanga mwanzo mwisho na waluguru kukimbilia milimani mwee mjomba waluguru tulawa.

Mwendo ni ule ule hatua moja mbele ya pili inafuata jumatatu twaenda kisiwani Zanzibar, Pemba kwa wapemba na wazaramo waliotukaribisha kwenye jiji lao la Dar es salaam,

Kazi kwenu mi nawajuza nanyi mwapiga kura,hebu chagua ,mzaramo na mpemba nani mwenye mzuka wa shangwe kuliko mwenzie ??

Tuma ujumbe wako kwenda namba15584

Shangwe hizi za utani wa jadi ni kwa hisani kubwa ya safari lager, ladha kamili, sifa thabiti.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: