Ofisa Ufutiliaji na Tathmini wa Shirika la Eguality for Growth (EfG), Shabani Lulimbeye, akizungumza na wadau mbalimbali kuhusu vitendendo vya ukatili wa kijinsia katika Tamasha lililofanyika leo asubuhi viwanja vya Soko la Mchikichini Ilala jijini Dar es Salaam.
 Mfanyabiashara katika soko hilo, Suleiman Azizi akichangia jambo kuhusu ukatili wa kijinsia katika soko hilo.
 Kikundi cha Sanaa cha Machozi cha Temeke jijini Dar es Salaam kikihamasisha wananchi kuacha vitendo vya ukatili wa kijinsia masokoni katika Tamasha hilo.
 Wafanyabiashara ndogo ndogo katika soko hilo wakifuatilia tamasha hilo.
 Wasaidizi wa kisheria katika soko hilo wakiwa kwenye tamasha hilo. Kulia ni Zainab Namajojo na Mechi Mtindi.
 Wasanii wa kundi la Machozi wakila wakati wakiigiza igizo la kupinga ukatili wa kijinsia.
 Raia wa kigeni ambao wanafanyakazi ya kujitolea katika Shirika la EfG wakiwa kwenye tamasha hilo.
 Taswira katika tamasha hilo.
Wasanii wa Kundi la Machozi wakionesha igizo la ukatili wa jinsia masokoni.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: