Taarifa tulizozipata jioni ya leo toka kwenye ukurasa wa facebook wa Afande Sele The'King zimasema;  taarifa za kusikitisha nilizozipata jioni hii nikiwa hapa Dar es Salaam ni kwamba mzee wetu Khamis Kinzasa ambae ni baba mzazi wa ndg yetu Abass Khamis Kinzasa maarufu kama 20 Percent amefariki dunia leo mchana, mazishi yatafanyika kesho nyumbani kwake Kimanzichana saa saba mchana, poleni nyoote wanandugu, pole mdogo wangu asilimia, pole familia yote ya mzee Kinzasa mke, watoto na wajukuu, Mungu amlaze pema mzazi wetu, sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na sisi sote tutarejea kwake siku moja.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: