Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Airtel Tanzania, Adrian Liamba akiongea kabla ya kukata keki ya maadhimisho ya wiki ya Mteja yaliyofanyika katika ofisi za Airtel Makao Makuu jijini Dar es Salaam. Pembeni yake kulia ni Afisa huduma kwa wateja Deogratius Hugo na Lulu Mashiba.
Wafanyakazi wa Airtel Tanzania wakiwa wameshikana mikono kuonyesha mshikamano wakati wa maadhimisho ya wiki ya huduma kwa Mteja.
Afisa Huduma kwa Wateja, Deogratius Hugo akiongea machache wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki wa Wateja yaliyofanyika katika ofisi za Airtel Makao Makuu jijini Dar es Salaam.
Keki.
Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Airtel Tanzania, Adrian Liamba akiongea kabla ya kukata keki ya maadhimisho ya wiki ya Mteja yaliyofanyika katika ofisi za Airtel Makao Makuu jijini Dar es Salaam. Pembeni yake kulia ni Afisa huduma kwa wateja Deogratius Hugo na Lulu Mashiba.
 Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Airtel Tanzania, Adrian Liamba (wa pili kulia) akiwa ameungana na wateja wa Airtel Tanzania kukata keki ya maadhimisho ya wiki ya Wateja yaliyofanyika katika ofisi za Airtel Makao Makuu jijini Dar es Salaam. Pembeni yake anayeshuhudia ni Pembeni yake kulia ni Afisa huduma kwa Mteja Deogratius Hugo.
Akikata kata keki kwa ajili ya kuwalisha wateja.
Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Airtel Tanzania, Adrian Liamba akimlisha mmoja ya wateja ambaye aliungana na Aitel Tanzania katika maadhimisho ya Huduma kwa Mteja. Pembeni yake kulia ni Mfanyakazi wa Airtel Tanzania Angestina.
Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Airtel Tanzania, Adrian Liamba akimlisha mmoja ya wateja ambaye aliungana na Aitel Tanzania katika maadhimisho ya Huduma kwa Mteja. Pembeni yake kulia ni Afisa huduma kwa wateja Deogratius Hugo.
Wateja wa Airtel Tanzania wakipatiwa huduma katika ofisi ya Airtel Tanzania iliyopo Moroko jijini Dar es Salaam.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: