Waziri wa Utalii wa Kenya Mh. Danson Mwazo katikati ambaye pia ni mwenyekiti wa mawaziri wa utalii katika nchi za Afrika Mashariki na Waziri wa Maliasili na Utalii wa Tanzania Balozi Khamis Kagasheki kulia, wakionyesha jarida la Round About East Africa la kwenye ndege. linaloelezea mambo mbalimbali ya utalii na pia kutangaza utalii wa nchi za Afrika Mashariki, mara baada ya kulizindua rasmi katika hafla iliyofanyika kwenye maonyesho ya dunia ya Utalii World Travel Market (WTM) Excel Jijini London nchini Uingereza, kulia ni Waziri wa Utalii wa Utalii wa Uganda pamoja na wawakilishi wa mawaziri wa utalii wa Rwanda na Burundi PICHA NA WWW.FULLSHANGWEBLOG.COM
Home
Unlabelled
MAWAZIRI WA UTALII JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAZINDUA JARIDA LA KWENYE NDEGE KATIKA MAONYESHO YA (WTM) JIJINI LONDON
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments: