Pages

Sunday, 17 July 2011

MAMBO YAMEIVA NDANI YA SERENGETI FIESTA 2011, ARACHUGAAAAA

 Hawa ni wasanii wa Arusha ambao wameonekana kufanya vizuri sana katika tamasha la Serengeti Fiesta 2011 ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
Wakazi wa jijini Arusha ambao wamejitokeza katika tamasha Serengeti Fiesta 2011.

No comments:

Post a Comment