Zuhura Tunde, mwanafunzi kutoka Ruvu girls Secondary school  akisikiliza kwa makini wakati wanafundishwa katika semina iliyoandaliwa na Soma Cafe hivi karibuni
 Neema Komba - Mwandishi, mshairi na mwalimu katika semina hii  iliyoandaliwa na Soma Cafe jijini Dar es Salaam akifundisha Uandishi wakibunifu.
 Wanafunzi kutoka Ruvu girls secondary school wakisoma kitabu wakiwa katika semina iliyoandaliwa na Soma Cafe na mwalimu Neema komba akiwasikiliza kwa makini. Wanafunzi ni Fatma Mohamed Namkape, Beatrice L Mmassa na Zuhura Tunde (kushoto - kulia).
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: