Hivi karibuni serikali ilitangaza zoezi la kuanza kubadilisha namba za piki piki zote zinazotumiwa kibiashara/binafsi Oktoba 1, 2014 ambapo kwa sasa wananchi wanatakiwa kwenda na kadi halisi ya piki piki pamoja na shilingi 10,000/= ambapo zoezi hilo linatarajiwa kuchukua muda wa miezi sita mpaka likamilike.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: