Ilikuwa ni OKtoba 11, 2014 pale mwanamuziki Steve RNB alipoamua kufunga pingu za maisha na Mwanadada Esther. Kajunason inawatakia maisha marefu katika ndoa yenu.
Busu la mahaba...
Bi. Esther akiwa katika pozi la furaha.
Bwana Harusi Steve akiwa katika picha  ya pamoja na wapambe.
Bw&Bi. Steve wakiwa pamoja na wasindikizaji wao wa kiume.
Wasindikizaji wa Kike wakipata ukodak.
Picha ya Pamoja...
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: