Mkurugenzi wa Didas Entertainment, almaarufu kwa jina la Didas Facion akiongea wakati wa uzinduzi wa Filamu ya Mateso Yangu Ughaibuni iliyofanyika jana Septemba 4, 2014 katika viwanja vya Leadrs Club. Pembeni yake ni  Msanii Wastara Juma na  Rais Wa Bongo Movie Steve Nyerere. Mfuko wa Pensheni Kwa Watumishi wa Umma PSPF.

Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema akiongea machache wakati wa uzinduzi wa Filamu ya Mateso Yangu Ughaibuni iliyofanyika jana Septemba 4, 2014 katika viwanja vya Leadrs Club.

Rais Wa Bongo Movie Steve Nyerere akitema cheche.

Wazazi wa mwanadada Didas...

Bendi ya YAMOTO akimwaga burudani.
Wageni waalikwa.
Msanii H. Baba akiwanga burudani.
Mke wa H.Baba, Flora Mvungi akitoa burudani sambamba na wacheza shoo wake.
Baba na Mama wakitoa burudani.
Wasanii waliohudhuria uzinduzi huo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: